Amosi 1:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Yehova anasema hivi: ‘“Kwa sababu ya maasi matatu ya Gaza,+ na hata manne, sitabadili uamuzi wangu,Kwa sababu walichukua kundi lote la mateka+ na kuwatia mikononi mwa Edomu.
6 Yehova anasema hivi: ‘“Kwa sababu ya maasi matatu ya Gaza,+ na hata manne, sitabadili uamuzi wangu,Kwa sababu walichukua kundi lote la mateka+ na kuwatia mikononi mwa Edomu.