Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Mambo ya Nyakati 21:16, 17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Kisha Yehova akawachochea*+ Wafilisti+ na Waarabu+ walioishi karibu na Waethiopia ili wamshambulie Yehoramu. 17 Basi wakaivamia Yuda, wakaingia humo kwa nguvu na kuchukua mali zote zilizokuwa katika nyumba ya* mfalme,+ na pia wanawe na wake zake; Yehoahazi,*+ mwanawe wa mwisho, ndiye mwana pekee aliyebaki pamoja naye.

  • 2 Mambo ya Nyakati 28:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Wafilisti+ walivamia pia majiji ya Shefela+ na Negebu nchini Yuda na kuteka Beth-shemeshi,+ Aiyaloni,+ Gederothi, Soko na miji yake, Timna+ na miji yake, na Gimzo na miji yake; nao wakaanza kuishi humo.

  • Yoeli 3:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  4 Pia, kwa nini mnanitendea hivi,

      Enyi watu wa Tiro na Sidoni na maeneo yote ya Ufilisti?

      Je, mnanilipiza kisasi kwa sababu ya jambo fulani?

      Ikiwa mnanilipiza kisasi,

      Nitawalipiza kisasi haraka, naam, upesi.*+

  • Yoeli 3:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  6 Na watu wa Yuda na Yerusalemu mmewauza kwa Wagiriki,+

      Mkawaondoa na kuwapeleka mbali na eneo lao;

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki