18 “ ‘ “Kwa sababu ya wingi wa makosa yako,+ kwa sababu ya ukosefu wa haki wa mali zako za mauzo,+ umepatia unajisi patakatifu pako. Nami nitatokeza moto kutoka katikati yako. Huo ndio utakaokuteketeza.+ Nami nitakufanya kuwa majivu juu ya dunia mbele ya macho ya wale wanaokuona.+