-
Ufunuo 19:6Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
-
-
6 Nami nikasikia kilichokuwa kama sauti ya umati mkubwa na kama mvumo wa maji mengi na kama mvumo wa ngurumo zilizo nzito. Wakasema: “Sifuni Yah, nyinyi watu, kwa sababu Yehova Mungu wetu, Mweza-Yote, ameanza kutawala akiwa mfalme.
-