Kumbukumbu la Torati 32:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Mwamba aliyekuzaa wewe, ulimsahau,+Nawe ukaanza kumwondoa Mungu katika kumbukumbu, yule anayekutokeza kwa uchungu wa kuzaa.+ Zaburi 106:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Walimsahau Mungu Mwokozi wao,+Mtendaji wa mambo makuu nchini Misri,+ Yeremia 2:32 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 Je, bikira anaweza kuyasahau mapambo yake, na bibi-arusi mavazi yake ya kifuani? Lakini watu wangu mwenyewe—wamenisahau mimi kwa muda wa siku zisizo na hesabu.+
18 Mwamba aliyekuzaa wewe, ulimsahau,+Nawe ukaanza kumwondoa Mungu katika kumbukumbu, yule anayekutokeza kwa uchungu wa kuzaa.+
21 Walimsahau Mungu Mwokozi wao,+Mtendaji wa mambo makuu nchini Misri,+ Yeremia 2:32 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 Je, bikira anaweza kuyasahau mapambo yake, na bibi-arusi mavazi yake ya kifuani? Lakini watu wangu mwenyewe—wamenisahau mimi kwa muda wa siku zisizo na hesabu.+
32 Je, bikira anaweza kuyasahau mapambo yake, na bibi-arusi mavazi yake ya kifuani? Lakini watu wangu mwenyewe—wamenisahau mimi kwa muda wa siku zisizo na hesabu.+