Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 32:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Mwamba aliyekuzaa wewe, ulimsahau,+

      Nawe ukaanza kumwondoa Mungu katika kumbukumbu, yule anayekutokeza kwa uchungu wa kuzaa.+

  • Zaburi 106:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Walimsahau Mungu Mwokozi wao,+

      Mtendaji wa mambo makuu nchini Misri,+

  • Yeremia 2:32
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 32 Je, bikira anaweza kuyasahau mapambo yake, na bibi-arusi mavazi yake ya kifuani? Lakini watu wangu mwenyewe—wamenisahau mimi kwa muda wa siku zisizo na hesabu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki