13 Na kwamba umsahau Yehova Mtengenezaji wako,+ Yeye anayezitandaza mbingu+ na kuweka msingi wa dunia,+ hivi kwamba ulikuwa na hofu sikuzote mchana kutwa kwa sababu ya ghadhabu ya mtu anayekusonga,+ kana kwamba alikuwa amejitayarisha kukuangamiza?+ Na iko wapi ghadhabu ya yule anayekusonga?+