Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 6:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 jiangalie usije ukamsahau+ Yehova, aliyekutoa katika nchi ya Misri, kutoka katika nyumba ya watumwa.

  • Zaburi 50:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Tafadhali, enyi mnaomsahau Mungu eleweni hili,+

      Nisije nikawararua vipande-vipande bila ya kuwa na mkombozi.+

  • Isaya 1:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Ng’ombe anamjua vema mnunuzi wake, na punda anaijua hori ya bwana wake; Israeli mwenyewe hakujua,+ watu wangu mwenyewe hawakujiendesha kwa uelewaji.”+

  • Yeremia 2:32
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 32 Je, bikira anaweza kuyasahau mapambo yake, na bibi-arusi mavazi yake ya kifuani? Lakini watu wangu mwenyewe—wamenisahau mimi kwa muda wa siku zisizo na hesabu.+

  • Hosea 8:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Naye Israeli akaanza kumsahau Mtengenezaji wake+ na kujenga mahekalu;+ naye Yuda akazidisha majiji yenye ngome.+ Nami nitapeleka moto katika majiji yake nao utateketeza minara ya makao ya kila mmoja.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki