Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 32:38
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 38 Iliyokuwa ikila mafuta ya dhabihu zao,+

      Ili kunywa divai ya matoleo yao ya kinywaji?+

      Na isimame na kuwasaidia ninyi.+

      Na iwe mahali pa maficho kwa ajili yenu.+

  • Isaya 28:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Kwa sababu mmesema: “Tumefanya agano pamoja na Kifo;+ nasi tumetekeleza maono pamoja na Kaburi;*+ lile furiko la ghafula linalofurika, ikiwa litapita katikati, halitatufikia, kwa maana tumefanya uwongo kuwa kimbilio+ letu nasi tumejificha katika jambo lisilo la kweli”;+

  • Yeremia 10:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Kila mtu amejiendesha kwa kukosa sana kutumia akili asiweze kujua.+ Hakika kila fundi wa chuma ataona aibu kwa sababu ya sanamu ya kuchongwa;+ kwa maana sanamu yake ya kuyeyushwa ni uwongo,+ na hamna roho ndani yake.+

  • Habakuki 2:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Sanamu ya kuchongwa imekuwa na faida gani,+ wakati yeye aliyeifanya ameichonga, sanamu ya kuyeyushwa, na mfundishaji wa uwongo?+ wakati yeye aliyefanya umbo lake ameitegemea,+ kufikia hatua ya kufanya miungu isiyo na thamani ambayo haiwezi kusema?+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki