15 Kwa sababu mmesema: “Tumefanya agano pamoja na Kifo;+ nasi tumetekeleza maono pamoja na Kaburi;*+ lile furiko la ghafula linalofurika, ikiwa litapita katikati, halitatufikia, kwa maana tumefanya uwongo kuwa kimbilio+ letu nasi tumejificha katika jambo lisilo la kweli”;+
14 Kila mtu amejiendesha kwa kukosa sana kutumia akili asiweze kujua.+ Hakika kila fundi wa chuma ataona aibu kwa sababu ya sanamu ya kuchongwa;+ kwa maana sanamu yake ya kuyeyushwa ni uwongo,+ na hamna roho ndani yake.+
18 Sanamu ya kuchongwa imekuwa na faida gani,+ wakati yeye aliyeifanya ameichonga, sanamu ya kuyeyushwa, na mfundishaji wa uwongo?+ wakati yeye aliyefanya umbo lake ameitegemea,+ kufikia hatua ya kufanya miungu isiyo na thamani ambayo haiwezi kusema?+