1 Wafalme 18:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Eliya akasema: “Sijailetea Israeli taabu, lakini ni wewe na nyumba ya baba yako mliofanya hivyo kwa kuziacha amri za Yehova na kufuata Mabaali.+
18 Eliya akasema: “Sijailetea Israeli taabu, lakini ni wewe na nyumba ya baba yako mliofanya hivyo kwa kuziacha amri za Yehova na kufuata Mabaali.+