Yeremia 11:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Wameyarudia makosa ya mababu zao wa zamani, waliokataa kutii maneno yangu.+ Wao pia wameifuata miungu mingine na kuiabudu.+ Watu wa nyumba ya Israeli na wa nyumba ya Yuda wamevunja agano langu nililofanya pamoja na mababu zao.+ Yeremia Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012 11:10 w07 3/15 9 Yeremia Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 11:10 Mnara wa Mlinzi,3/15/2007, uku. 9
10 Wameyarudia makosa ya mababu zao wa zamani, waliokataa kutii maneno yangu.+ Wao pia wameifuata miungu mingine na kuiabudu.+ Watu wa nyumba ya Israeli na wa nyumba ya Yuda wamevunja agano langu nililofanya pamoja na mababu zao.+