17 Lakini walikataa kuwasikiliza hata waamuzi hao, nao walifanya ukahaba na miungu mingine na kuiinamia. Waliacha haraka njia ambayo mababu zao walifuata, ambao walitii amri za Yehova.+ Walikataa kutii.
8 Wanatenda kama walivyozoea kutenda tangu nilipowatoa Misri mpaka leo hii; wamekuwa wakiniacha+ na kuabudu miungu mingine,+ na hivyo ndivyo wanavyokutendea wewe pia.
17 Kwa sababu wameniacha na wanaifukizia miungu mingine+ moshi wa dhabihu ili kunikasirisha kwa kazi zote za mikono yao,+ ghadhabu yangu itawaka dhidi ya mahali hapa nayo haitazimwa.’”+