Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Waamuzi 2:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Nao hawakuwasikiliza hata waamuzi wao, lakini wakafanya uasherati+ na miungu mingine+ na kuiinamia. Waligeuka upesi kutoka katika njia ambayo mababu zao walikuwa wametembea kwa kutii amri za Yehova.+ Wao hawakufanya hivyo.

  • 1 Samweli 8:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Kulingana na matendo yao yote ambayo wametenda tangu siku nilipowatoa kutoka Misri+ mpaka leo hii kwa kuwa walizidi kuniacha+ na kuitumikia miungu mingine,+ hivyo ndivyo wanavyokutendea wewe pia.

  • 2 Wafalme 22:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 kwa sababu wameniacha na kwenda kuifukizia moshi wa dhabihu miungu mingine+ ili kunitia uchungu kwa kazi zote za mikono yao,+ na ghadhabu yangu imewashwa juu ya mahali hapa wala haitazimwa.’”’+

  • 2 Mambo ya Nyakati 28:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Naye akaanza kuitolea dhabihu miungu+ ya Damasko+ iliyokuwa ikimpiga, naye akasema: “Kwa sababu miungu ya wafalme wa Siria inawasaidia wao,+ mimi nitaitolea dhabihu, ili inisaidie.”+ Nayo ikawa kisababishi cha kumfanya yeye na Israeli wote wajikwae.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki