Ayubu 14:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Amechanuka kama ua na kukatiliwa mbali,+Naye hukimbia kama kivuli+ wala haendelei kuwako. Zaburi 39:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Tazama! Umezifanya siku zangu kuwa chache tu;+Na urefu wa maisha yangu si kitu mbele zako.+Kwa kweli kila mtu wa udongo, ingawa anasimama imara, si kitu ila pumzi tu.+ Sela. Zaburi 109:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Kama wakati kivuli kinapopungua, mimi nalazimika kwenda zangu;+Nimekung’utwa kama nzige. Zaburi 144:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Mwanadamu anafanana na pumzi tu;+Siku zake ni kama kivuli kinachopita.+ Yakobo 4:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 ingawa hamjui uzima wenu utakuwa namna gani kesho.+ Kwa maana ninyi ni ukungu unaotokea kwa muda kidogo na kisha kutoweka.+
5 Tazama! Umezifanya siku zangu kuwa chache tu;+Na urefu wa maisha yangu si kitu mbele zako.+Kwa kweli kila mtu wa udongo, ingawa anasimama imara, si kitu ila pumzi tu.+ Sela.
14 ingawa hamjui uzima wenu utakuwa namna gani kesho.+ Kwa maana ninyi ni ukungu unaotokea kwa muda kidogo na kisha kutoweka.+