Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ayubu 14:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  2 Amechanuka kama ua na kukatiliwa mbali,+

      Naye hukimbia kama kivuli+ wala haendelei kuwako.

  • Zaburi 39:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  5 Tazama! Umezifanya siku zangu kuwa chache tu;+

      Na urefu wa maisha yangu si kitu mbele zako.+

      Kwa kweli kila mtu wa udongo, ingawa anasimama imara, si kitu ila pumzi tu.+ Sela.

  • Zaburi 109:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Kama wakati kivuli kinapopungua, mimi nalazimika kwenda zangu;+

      Nimekung’utwa kama nzige.

  • Zaburi 144:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  4 Mwanadamu anafanana na pumzi tu;+

      Siku zake ni kama kivuli kinachopita.+

  • Yakobo 4:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 ingawa hamjui uzima wenu utakuwa namna gani kesho.+ Kwa maana ninyi ni ukungu unaotokea kwa muda kidogo na kisha kutoweka.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki