1 Mambo ya Nyakati 29:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Kwa maana sisi ni wakaaji wageni mbele zako na wahamiaji+ sawa na mababu zetu. Siku zetu duniani+ ni kama kivuli wala hakuna tumaini. Ayubu 14:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Amechanuka kama ua na kukatiliwa mbali,+Naye hukimbia kama kivuli+ wala haendelei kuwako. Zaburi 102:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Siku zangu ni kama kivuli ambacho kimepungua,+nami mwenyewe nimekauka kama majani tu.+ Zaburi 144:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Mwanadamu anafanana na pumzi tu;+Siku zake ni kama kivuli kinachopita.+ Yakobo 4:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 ingawa hamjui uzima wenu utakuwa namna gani kesho.+ Kwa maana ninyi ni ukungu unaotokea kwa muda kidogo na kisha kutoweka.+
15 Kwa maana sisi ni wakaaji wageni mbele zako na wahamiaji+ sawa na mababu zetu. Siku zetu duniani+ ni kama kivuli wala hakuna tumaini.
14 ingawa hamjui uzima wenu utakuwa namna gani kesho.+ Kwa maana ninyi ni ukungu unaotokea kwa muda kidogo na kisha kutoweka.+