Zaburi 102:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Moyo wangu umepigwa kama majani nao umekauka,+Kwa maana nimesahau kula chakula changu.+ Isaya 40:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Majani mabichi yamekauka, ua limenyauka,+ kwa sababu roho ya Yehova imepuliza juu yake.+ Hakika watu ni majani mabichi.+ Yakobo 1:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 na tajiri+ kushushwa kwake, kwa sababu atapitilia mbali kama ua la majani.+ 1 Petro 1:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Kwa maana “wanadamu wote ni kama majani,+ na utukufu wao wote ni kama ua la majani; majani hukauka, na ua huanguka,+
7 Majani mabichi yamekauka, ua limenyauka,+ kwa sababu roho ya Yehova imepuliza juu yake.+ Hakika watu ni majani mabichi.+
24 Kwa maana “wanadamu wote ni kama majani,+ na utukufu wao wote ni kama ua la majani; majani hukauka, na ua huanguka,+