Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Samweli 3:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 Na ianguke na kurudi juu ya kichwa+ cha Yoabu na juu ya nyumba yote ya baba yake, wala asikose katika nyumba ya Yoabu+ mwanamume anayetokwa na mtiririko+ au mwenye ukoma+ au mwanamume anayeshika gurudumu linalozunguka la kusokota nyuzi+ au anayeanguka kwa upanga au mwenye uhitaji wa mkate!”+

  • 1 Wafalme 2:34
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 34 Kisha Benaya mwana wa Yehoyada akapanda,+ akamshambulia na kumuua;+ naye akazikwa karibu na nyumba yake mwenyewe nyikani.

  • Methali 28:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Mtu aliyelemewa na hatia ya damu ya nafsi atalikimbilia shimo.+ Watu wasimzuie.

  • Isaya 48:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 “Hakuna amani,” Yehova amesema, “kwa waovu.”+

  • Mathayo 26:52
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 52 Ndipo Yesu akamwambia: “Rudisha upanga wako mahali pake,+ kwa maana wale wote wanaouchukua upanga wataangamia kwa upanga.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki