Kumbukumbu la Torati 27:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 “‘Amelaaniwa yule ambaye kutoka mafichoni humpiga na kumuua mwenzake.’+ (Nao watu wote watajibu na kusema, ‘Amina!’) Zaburi 109:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Na wanawe watange-tange;+Nao waombe-ombe,Nao watafute chakula kutoka katika mahali pao penye ukiwa.+
24 “‘Amelaaniwa yule ambaye kutoka mafichoni humpiga na kumuua mwenzake.’+ (Nao watu wote watajibu na kusema, ‘Amina!’)
10 Na wanawe watange-tange;+Nao waombe-ombe,Nao watafute chakula kutoka katika mahali pao penye ukiwa.+