16 Ndipo Daudi akamwambia: “Hatia yako ya damu na iwe juu ya kichwa chako mwenyewe,+ kwa sababu kinywa chako mwenyewe kimetoa ushuhuda juu yako,+ kusema, ‘Mimi mwenyewe kwa hakika nilimuua mtiwa-mafuta wa Yehova.’”+
37 Na itatukia kwamba siku utakapotoka na kuvuka bonde la mto la Kidroni,+ ujue bila shaka kwamba utakufa hakika.+ Hatia ya damu kwa ajili yako itakuwa juu ya kichwa chako mwenyewe.”+