Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Waamuzi 6:32
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 32 Naye akaanza kumwita jina Yerubaali+ siku hiyo, akisema: “Baali na ajitetee mwenyewe kisheria, kwa sababu mtu fulani amebomoa madhabahu yake.”+

  • Waamuzi 7:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Ndipo Yerubaali,+ yaani, Gideoni,+ na watu wote waliokuwa pamoja naye, wakaondoka mapema na kupiga kambi kando ya kisima cha Harodi; na kambi ya Midiani ilikuwa upande wake wa kaskazini, kwenye kilima cha More, katika nchi tambarare ya chini.

  • Waamuzi 8:35
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 35 nao hawakuonyesha fadhili zenye upendo+ kwa nyumba ya Yerubaali, Gideoni, kwa kuufuata wema wote ambao aliwaonyesha Israeli.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki