Waamuzi 6:32 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 Naye akaanza kumwita jina Yerubaali+ siku hiyo, akisema: “Baali na ajitetee mwenyewe kisheria, kwa sababu mtu fulani amebomoa madhabahu yake.”+ Waamuzi 7:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Ndipo Yerubaali,+ yaani, Gideoni,+ na watu wote waliokuwa pamoja naye, wakaondoka mapema na kupiga kambi kando ya kisima cha Harodi; na kambi ya Midiani ilikuwa upande wake wa kaskazini, kwenye kilima cha More, katika nchi tambarare ya chini. Waamuzi 8:35 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 35 nao hawakuonyesha fadhili zenye upendo+ kwa nyumba ya Yerubaali, Gideoni, kwa kuufuata wema wote ambao aliwaonyesha Israeli.+
32 Naye akaanza kumwita jina Yerubaali+ siku hiyo, akisema: “Baali na ajitetee mwenyewe kisheria, kwa sababu mtu fulani amebomoa madhabahu yake.”+
7 Ndipo Yerubaali,+ yaani, Gideoni,+ na watu wote waliokuwa pamoja naye, wakaondoka mapema na kupiga kambi kando ya kisima cha Harodi; na kambi ya Midiani ilikuwa upande wake wa kaskazini, kwenye kilima cha More, katika nchi tambarare ya chini.
35 nao hawakuonyesha fadhili zenye upendo+ kwa nyumba ya Yerubaali, Gideoni, kwa kuufuata wema wote ambao aliwaonyesha Israeli.+