Waamuzi 6:32 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 Naye akaanza kumwita jina Yerubaali+ siku hiyo, akisema: “Baali na ajitetee mwenyewe kisheria, kwa sababu mtu fulani amebomoa madhabahu yake.”+ 1 Samweli 12:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Ndipo Yehova akamtuma Yerubaali+ na Bedani na Yeftha+ na Samweli,+ akawakomboa kutoka mkono wa adui zenu pande zote, ili mkae kwa amani.+
32 Naye akaanza kumwita jina Yerubaali+ siku hiyo, akisema: “Baali na ajitetee mwenyewe kisheria, kwa sababu mtu fulani amebomoa madhabahu yake.”+
11 Ndipo Yehova akamtuma Yerubaali+ na Bedani na Yeftha+ na Samweli,+ akawakomboa kutoka mkono wa adui zenu pande zote, ili mkae kwa amani.+