2 “Sema na wana wa Israeli, nanyi mtawaambia, ‘Ikiwa mwanamume yeyote ana mtiririko unaotoka+ katika kiungo chake cha uzazi, kile kinachomtoka si safi.
2 “Amuru wana wa Israeli kwamba wamtoe nje ya kambi kila mtu mwenye ukoma+ na kila mtu mwenye mtiririko unaotoka+ na kila mtu asiye safi kutokana na nafsi iliyokufa.+