Methali 14:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Asiye na imani moyoni ataridhika na matokeo ya njia zake mwenyewe,+ lakini mtu mwema ataridhika na matokeo ya shughuli zake.+ Yeremia 2:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Je, hilo silo jambo ulilojifanyia mwenyewe kwa kumwacha Yehova Mungu+ wako wakati alipokuwa akikutembeza njiani?+ Wagalatia 6:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Msipotoshwe:+ Mungu si wa kudhihakiwa.+ Kwa maana lolote lile analopanda mtu, atavuna hilo pia;+
14 Asiye na imani moyoni ataridhika na matokeo ya njia zake mwenyewe,+ lakini mtu mwema ataridhika na matokeo ya shughuli zake.+
17 Je, hilo silo jambo ulilojifanyia mwenyewe kwa kumwacha Yehova Mungu+ wako wakati alipokuwa akikutembeza njiani?+