Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Methali 1:31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 Basi watakula matunda ya njia yao,+ nao watashiba mashauri yao wenyewe.+

  • Methali 1:32
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 32 Kwa maana uasi+ wa wasio na uzoefu utawaua wao,+ na kutojali kwa wajinga kutawaangamiza wao.+

  • Mathayo 6:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 “Wakati mnapofunga,+ msiwe na nyuso zenye huzuni kama wanafiki, kwa maana wao hukunja nyuso zao ili waonekane na watu kuwa wanafunga.+ Kwa kweli ninawaambia ninyi, Wanapata thawabu yao kwa ukamili.

  • 2 Petro 2:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 wakijitendea makosa wenyewe+ ikiwa ni thawabu ya kutenda makosa.+

      Wao huyaona maisha ya anasa wakati wa mchana kuwa raha.+ Wao ni madoa na dosari, wakijitia mno katika kupendezwa kusikozuiwa katika mafundisho yao ya udanganyifu huku wakila karamu pamoja nanyi.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki