-
Mathayo 6:16Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
-
-
16 “Wakati mnapofunga, komeni kuwa wenye nyuso zenye huzuni kama wanafiki, kwa maana wao huumbua nyuso zao ili wapate kuonekana na watu kuwa wanafunga. Kwa kweli nawaambia nyinyi, Wanapata thawabu yao kwa ukamili.
-