16 “Mnapofunga,+ msiwe na nyuso zenye huzuni kama wanafiki, kwa maana wao hukunja nyuso zao* ili watu waone kwamba wanafunga.+ Kwa kweli ninawaambia, wanapata thawabu yao kikamili.
16 “Wakati mnapofunga,+ msiwe na nyuso zenye huzuni kama wanafiki, kwa maana wao hukunja nyuso zao ili waonekane na watu kuwa wanafunga.+ Kwa kweli ninawaambia ninyi, Wanapata thawabu yao kwa ukamili.