Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Mambo ya Nyakati 31:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Ndipo Azaria+ mkuu wa makuhani wa nyumba ya Sadoki+ akamwambia, ndiyo, akasema: “Tangu walipoanza kuleta mchango+ ndani ya nyumba ya Yehova kumekuwako kula na kushiba+ na kuwa na ziada kwa wingi;+ kwa kuwa Yehova mwenyewe amewabariki watu wake,+ na kilichobaki ni hiki kiasi kingi.”

  • Nehemia 9:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Nao wakaanza kuteka majiji yenye ngome+ na udongo mnono+ na kumiliki nyumba zilizojaa vitu vyote vyema,+ matangi yaliyochimbwa chini,+ mashamba ya mizabibu na ya mizeituni+ na miti ya vyakula kwa wingi, nao wakaanza kula na kushiba+ na kunenepa+ na kufanikiwa katika wema wako mkubwa.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki