10 ndipo Azaria mkuu wa makuhani wa nyumba ya Sadoki akamwambia: “Tangu watu walipoanza kuleta michango ndani ya nyumba ya Yehova,+ wamekuwa wakila na kushiba na bado kiasi kikubwa kimebaki, kwa maana Yehova amewabariki watu wake, na kiasi hiki kikubwa sana kimebaki.”+