Mwanzo 26:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Baadaye Isaka akaanza kupanda mbegu katika nchi hiyo,+ na mwaka huo alikuwa akipata kufikia vipimo mia moja kwa kimoja,+ kwa kuwa Yehova alikuwa anambariki.+ Mambo ya Walawi 25:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 ndipo hakika nitaamuru baraka zangu kwa ajili yenu katika mwaka wa sita, nayo itatoa mazao yake kwa ajili ya miaka mitatu.+ Methali 10:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Baraka ya Yehova—hiyo ndiyo hutajirisha,+ naye haongezi maumivu pamoja nayo.+
12 Baadaye Isaka akaanza kupanda mbegu katika nchi hiyo,+ na mwaka huo alikuwa akipata kufikia vipimo mia moja kwa kimoja,+ kwa kuwa Yehova alikuwa anambariki.+
21 ndipo hakika nitaamuru baraka zangu kwa ajili yenu katika mwaka wa sita, nayo itatoa mazao yake kwa ajili ya miaka mitatu.+