7 “Kumbuka: Usisahau jinsi ambavyo umemchokoza Yehova Mungu wako nyikani.+ Tangu siku uliyotoka katika nchi ya Misri mpaka mlipofika mahali hapa ninyi mmekuwa wenye tabia ya kumwasi Yehova.+
25 Tunalala katika aibu+ yetu, na fedheha yetu inaendelea kutufunika;+ kwa maana tumemtendea dhambi+ Yehova Mungu wetu, sisi na baba zetu tangu ujana wetu na kuendelea mpaka leo hii,+ nasi hatukuitii sauti ya Yehova Mungu wetu.”+
24 Lakini hawakusikiliza, wala hawakutega sikio lao,+ bali wakatembea katika mashauri kwa ukaidi wa moyo wao mbaya,+ hivi kwamba wakawa watu wa kuelekea nyuma wala si mbele,+