Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 32:32
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 32 Kwa maana mzabibu wao unatoka katika mzabibu wa Sodoma

      Na kutoka katika matuta ya Gomora.+

      Zabibu zao ni zabibu za sumu,

      Vishada vyao ni vichungu.+

  • Ruthu 1:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Naye akawa akiwajibu: “Msiniite Naomi. Niiteni Mara, kwa maana Mweza-Yote+ amenifanya kuwa na uchungu sana.+

  • Ayubu 16:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  9 Hasira yake imenirarua vipande-vipande, naye anashikilia uadui+ juu yangu.

      Anasaga meno yake juu yangu.+

      Adui yangu mwenyewe anayanoa macho yake juu yangu.+

  • Ayubu 19:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Pia hasira yake inawaka juu yangu,+

      Naye anaendelea kunihesabu kuwa adui yake.

  • Ayubu 33:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Tazama! Anatafuta sababu za kunipinga,

      Ananichukua mimi kuwa adui yake.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki