23 Naye Ahithofeli akaona kwamba haikutendwa kulingana na shauri lake,+ naye akatandika punda, akaondoka na kwenda nyumbani kwake katika jiji lake.+ Kisha akawapa nyumba yake+ amri halafu akajinyonga,+ akafa.+ Basi akazikwa+ katika makaburi ya mababu zake.
18 Na ikawa kwamba mara tu Zimri alipoona kwamba jiji limetekwa, akaingia katika mnara wa makao wa nyumba ya mfalme, akaiteketeza kwa moto nyumba ya mfalme juu yake mwenyewe, hivi kwamba akafa,+
4 Ndipo Sauli akamwambia mchukua-silaha wake:+ “Chomoa upanga wako,+ unichome nao, ili watu hawa wasiotahiriwa+ wasije kunitendea vibaya.”+ Naye mchukua-silaha wake hakutaka,+ kwa sababu aliogopa sana. Basi Sauli akachukua upanga, akauangukia.+