6 Basi Yonathani akamwambia yule mtumishi, mchukua-silaha wake: “Haya njoo, na tuvuke, twende kwenye kituo cha mbele cha wanaume hawa wasiotahiriwa.+ Labda Yehova atatenda kwa ajili yetu, kwa maana hakuna kizuizi chochote kwa Yehova kuokoa kwamba ni kwa wengi au ni kwa wachache.”+
26 Na Daudi akaanza kuwaambia watu waliokuwa wamesimama karibu naye: “Atafanyiwa nini mtu atakayempiga yule Mfilisti+ pale na kuondolea mbali shutuma kutoka juu ya Israeli?+ Kwani huyu Mfilisti asiyetahiriwa+ ni nani hata avitukane+ vikosi vya Mungu aliye hai?”+
7 mnapowaingiza ndani wageni ambao hawajatahiriwa moyoni na ambao hawajatahiriwa katika mwili,+ ili wawe ndani ya patakatifu pangu na kupatia unajisi, naam, nyumba yangu; mnapotoa mkate+ wangu, mafuta+ na damu,+ huku wakiendelea kuvunja agano langu kwa sababu ya machukizo yenu yote.+