Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 14:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Basi Yonathani akamwambia yule mtumishi, mchukua-silaha wake: “Haya njoo, na tuvuke, twende kwenye kituo cha mbele cha wanaume hawa wasiotahiriwa.+ Labda Yehova atatenda kwa ajili yetu, kwa maana hakuna kizuizi chochote kwa Yehova kuokoa kwamba ni kwa wengi au ni kwa wachache.”+

  • 1 Samweli 17:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 Na Daudi akaanza kuwaambia watu waliokuwa wamesimama karibu naye: “Atafanyiwa nini mtu atakayempiga yule Mfilisti+ pale na kuondolea mbali shutuma kutoka juu ya Israeli?+ Kwani huyu Mfilisti asiyetahiriwa+ ni nani hata avitukane+ vikosi vya Mungu aliye hai?”+

  • 2 Samweli 1:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Msiseme hayo katika Gathi;+

      Msiyatangaze katika barabara za Ashkeloni,+

      Binti za Wafilisti wasije wakashangilia,

      Binti za watu wasiotahiriwa wasije wakafurahi.+

  • Ezekieli 44:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 mnapowaingiza ndani wageni ambao hawajatahiriwa moyoni na ambao hawajatahiriwa katika mwili,+ ili wawe ndani ya patakatifu pangu na kupatia unajisi, naam, nyumba yangu; mnapotoa mkate+ wangu, mafuta+ na damu,+ huku wakiendelea kuvunja agano langu kwa sababu ya machukizo yenu yote.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki