Zaburi 74:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Ukumbuke hili: Adui ameshutumu, Ee Yehova,+Na kikundi cha watu wasio na akili kimelidharau jina lako.+ Zaburi 74:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Usimame, Ee Mungu, uendeshe kesi yako.+Uikumbuke shutuma yako mchana kutwa kutoka kwa mtu asiye na akili.+ Zaburi 79:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Na kuwalipa jirani zetu mara saba kifuani mwao+Shutuma yao ambayo wamekushutumu nayo, Ee Yehova.+
18 Ukumbuke hili: Adui ameshutumu, Ee Yehova,+Na kikundi cha watu wasio na akili kimelidharau jina lako.+
22 Usimame, Ee Mungu, uendeshe kesi yako.+Uikumbuke shutuma yako mchana kutwa kutoka kwa mtu asiye na akili.+