Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 74:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Ukumbuke hili: Adui ameshutumu, Ee Yehova,+

      Na kikundi cha watu wasio na akili kimelidharau jina lako.+

  • Zaburi 74:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Usimame, Ee Mungu, uendeshe kesi yako.+

      Uikumbuke shutuma yako mchana kutwa kutoka kwa mtu asiye na akili.+

  • Zaburi 79:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Na kuwalipa jirani zetu mara saba kifuani mwao+

      Shutuma yao ambayo wamekushutumu nayo, Ee Yehova.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki