1 Samweli 17:37 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 37 Ndipo Daudi akaongeza: “Yehova, aliyenikomboa kutoka katika makucha ya simba na kutoka katika makucha ya dubu, yeye ndiye atakayenikomboa kutoka mkononi mwa huyu Mfilisti.”+ Kwa hiyo Sauli akamwambia Daudi: “Nenda, na Yehova awe pamoja nawe.”+
37 Ndipo Daudi akaongeza: “Yehova, aliyenikomboa kutoka katika makucha ya simba na kutoka katika makucha ya dubu, yeye ndiye atakayenikomboa kutoka mkononi mwa huyu Mfilisti.”+ Kwa hiyo Sauli akamwambia Daudi: “Nenda, na Yehova awe pamoja nawe.”+