Mambo ya Walawi 21:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Watakuwa watakatifu kwa Mungu wao,+ nao hawatalitia unajisi jina la Mungu wao,+ kwa sababu wao ndio wanaotoa matoleo ya Yehova yanayotolewa kwa njia ya moto, mkate wa Mungu wao;+ nao watakuwa watakatifu.+ Malaki 1:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 “ ‘Kwa kutoa juu ya madhabahu yangu mkate uliotiwa unajisi.’+ “ ‘Nanyi mmesema: “Tumekutia unajisi kwa njia gani?” ’ “ ‘Kwa kusema: “Meza+ ya Yehova ni kitu cha kudharauliwa.”+
6 Watakuwa watakatifu kwa Mungu wao,+ nao hawatalitia unajisi jina la Mungu wao,+ kwa sababu wao ndio wanaotoa matoleo ya Yehova yanayotolewa kwa njia ya moto, mkate wa Mungu wao;+ nao watakuwa watakatifu.+
7 “ ‘Kwa kutoa juu ya madhabahu yangu mkate uliotiwa unajisi.’+ “ ‘Nanyi mmesema: “Tumekutia unajisi kwa njia gani?” ’ “ ‘Kwa kusema: “Meza+ ya Yehova ni kitu cha kudharauliwa.”+