Mambo ya Walawi 26:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Na hakika ninyi mtawafuatilia adui+ zenu, nao wataanguka kwa upanga mbele yenu. Yoshua 23:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Mtu mmoja tu kati yenu atafukuza elfu,+ kwa maana Yehova Mungu wenu ndiye anayewapigania ninyi,+ kama vile ambavyo amewaahidi ninyi.+ Zaburi 44:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Kwa maana hawakuimiliki nchi hiyo kwa upanga wao wenyewe,+Wala wokovu haukuletwa kwa mkono wao wenyewe.+Kwa maana ulikuwa ni mkono wako wa kuume,+ naam, mkono wako na nuru ya uso wako,Kwa sababu ulipendezwa nao.+ Waroma 8:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Basi, tuseme nini kuhusu mambo haya? Ikiwa Mungu yuko upande wetu, ni nani atakayekuwa dhidi yetu?+
10 Mtu mmoja tu kati yenu atafukuza elfu,+ kwa maana Yehova Mungu wenu ndiye anayewapigania ninyi,+ kama vile ambavyo amewaahidi ninyi.+
3 Kwa maana hawakuimiliki nchi hiyo kwa upanga wao wenyewe,+Wala wokovu haukuletwa kwa mkono wao wenyewe.+Kwa maana ulikuwa ni mkono wako wa kuume,+ naam, mkono wako na nuru ya uso wako,Kwa sababu ulipendezwa nao.+
31 Basi, tuseme nini kuhusu mambo haya? Ikiwa Mungu yuko upande wetu, ni nani atakayekuwa dhidi yetu?+