1 Samweli 21:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Baadaye Daudi akafika Nobu+ kwa Ahimeleki+ kuhani; naye Ahimeleki akaanza kutetemeka alipokutana na Daudi, kisha akamwambia: “Kwa nini uko peke yako, wala hakuna yeyote aliye pamoja nawe?”+ Luka 8:37 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 37 Kwa hiyo umati wote kutoka nchi yenye kuzunguka ya Wagerasene ukamwomba aondoke kwao, kwa sababu walikuwa wameshikwa na woga mkubwa.+ Ndipo akapanda ndani ya mashua na kurudi.
21 Baadaye Daudi akafika Nobu+ kwa Ahimeleki+ kuhani; naye Ahimeleki akaanza kutetemeka alipokutana na Daudi, kisha akamwambia: “Kwa nini uko peke yako, wala hakuna yeyote aliye pamoja nawe?”+
37 Kwa hiyo umati wote kutoka nchi yenye kuzunguka ya Wagerasene ukamwomba aondoke kwao, kwa sababu walikuwa wameshikwa na woga mkubwa.+ Ndipo akapanda ndani ya mashua na kurudi.