1 Samweli 16:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Na roho ya Yehova ikaondoka+ juu ya Sauli, nayo roho mbaya+ kutoka kwa Yehova ikamtia hofu. 1 Samweli 18:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Na ikawa kesho yake+ kwamba roho mbaya ya Mungu ikaanza kutenda kazi juu ya Sauli,+ hivi kwamba akatenda kama nabii+ ndani ya nyumba, huku Daudi akipiga muziki kwa mkono wake,+ kama katika siku za hapo zamani; na mkuki ulikuwa mkononi mwa Sauli.+ 2 Wafalme 3:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Na sasa nileteeni mpiga-kinanda.”+ Na ikatukia kwamba mara tu yule mpiga-kinanda alipopiga, mkono+ wa Yehova ukawa juu yake.
10 Na ikawa kesho yake+ kwamba roho mbaya ya Mungu ikaanza kutenda kazi juu ya Sauli,+ hivi kwamba akatenda kama nabii+ ndani ya nyumba, huku Daudi akipiga muziki kwa mkono wake,+ kama katika siku za hapo zamani; na mkuki ulikuwa mkononi mwa Sauli.+
15 Na sasa nileteeni mpiga-kinanda.”+ Na ikatukia kwamba mara tu yule mpiga-kinanda alipopiga, mkono+ wa Yehova ukawa juu yake.