3 neno la Yehova likaja+ moja kwa moja kwa Ezekieli+ mwana wa Buzi kuhani katika nchi ya Wakaldayo+ kando ya mto Kebari, nao mkono wa Yehova ukawa juu yake mahali pale.+
14 Nayo roho ikaniinua+ na kunichukua, hivi kwamba nikaenda kwa uchungu katika ghadhabu ya roho yangu, na mkono wa Yehova juu yangu ulikuwa wenye nguvu.+
8Na ikawa kwamba katika mwaka wa sita, katika mwezi wa sita, siku ya tano ya mwezi huo, nilikuwa nimeketi nyumbani mwangu nao wanaume wazee wa Yuda walikuwa wameketi mbele yangu,+ mkono wa Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova uliponiangukia hapo.+