Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Wafalme 18:46
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 46 Na mkono wa Yehova ukawa juu ya Eliya,+ hivi kwamba akajifunga viuno,+ naye akakimbia mbele ya Ahabu mpaka Yezreeli.+

  • Ezekieli 1:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 neno la Yehova likaja+ moja kwa moja kwa Ezekieli+ mwana wa Buzi kuhani katika nchi ya Wakaldayo+ kando ya mto Kebari, nao mkono wa Yehova ukawa juu yake mahali pale.+

  • Ezekieli 3:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Nayo roho ikaniinua+ na kunichukua, hivi kwamba nikaenda kwa uchungu katika ghadhabu ya roho yangu, na mkono wa Yehova juu yangu ulikuwa wenye nguvu.+

  • Ezekieli 8:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Na ikawa kwamba katika mwaka wa sita, katika mwezi wa sita, siku ya tano ya mwezi huo, nilikuwa nimeketi nyumbani mwangu nao wanaume wazee wa Yuda walikuwa wameketi mbele yangu,+ mkono wa Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova uliponiangukia hapo.+

  • Matendo 11:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Zaidi ya hayo, mkono wa Yehova+ ulikuwa pamoja nao, na hesabu kubwa ya waliopata kuwa waamini wakageuka kumwelekea Bwana.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki