Ezekieli 1:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 neno la Yehova likaja+ moja kwa moja kwa Ezekieli+ mwana wa Buzi kuhani katika nchi ya Wakaldayo+ kando ya mto Kebari, nao mkono wa Yehova ukawa juu yake mahali pale.+ Ezekieli 3:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Nao mkono wa Yehova ukawa juu yangu huko, naye akaniambia: “Ondoka, nenda kwenye nchi tambarare ya bondeni,+ na huko nitasema nawe.”
3 neno la Yehova likaja+ moja kwa moja kwa Ezekieli+ mwana wa Buzi kuhani katika nchi ya Wakaldayo+ kando ya mto Kebari, nao mkono wa Yehova ukawa juu yake mahali pale.+
22 Nao mkono wa Yehova ukawa juu yangu huko, naye akaniambia: “Ondoka, nenda kwenye nchi tambarare ya bondeni,+ na huko nitasema nawe.”