16 Kwa habari ya wale wanaume mashujaa wote, elfu saba, na mafundi na wajenzi wa maboma, elfu moja, wanaume wote wenye nguvu wenye kupigana vita, mfalme wa Babiloni aliwapeleka uhamishoni mpaka Babiloni.+
25 Nami nitakutia wewe katika mkono wa wale wanaoitafuta nafsi yako+ na katika mkono wa wale unaoogopa na katika mkono wa Nebukadreza mfalme wa Babiloni na katika mkono wa Wakaldayo.+