Ezekieli 1:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 neno la Yehova lilimjia Ezekieli* mwana wa Buzi kuhani akiwa kando ya mto Kebari katika nchi ya Wakaldayo.+ Na huko, mkono wa Yehova ukaja juu yake.+ Ezekieli Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 1:3 Ibada Safi, kur. 30-31, 48-49 “Kila Andiko,” uku. 133
3 neno la Yehova lilimjia Ezekieli* mwana wa Buzi kuhani akiwa kando ya mto Kebari katika nchi ya Wakaldayo.+ Na huko, mkono wa Yehova ukaja juu yake.+