1 Wafalme 18:46 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 46 Na mkono wa Yehova ukawa juu ya Eliya,+ hivi kwamba akajifunga viuno,+ naye akakimbia mbele ya Ahabu mpaka Yezreeli.+ 2 Wafalme 3:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Na sasa nileteeni mpiga-kinanda.”+ Na ikatukia kwamba mara tu yule mpiga-kinanda alipopiga, mkono+ wa Yehova ukawa juu yake. Ezekieli 3:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Nayo roho ikaniinua+ na kunichukua, hivi kwamba nikaenda kwa uchungu katika ghadhabu ya roho yangu, na mkono wa Yehova juu yangu ulikuwa wenye nguvu.+
46 Na mkono wa Yehova ukawa juu ya Eliya,+ hivi kwamba akajifunga viuno,+ naye akakimbia mbele ya Ahabu mpaka Yezreeli.+
15 Na sasa nileteeni mpiga-kinanda.”+ Na ikatukia kwamba mara tu yule mpiga-kinanda alipopiga, mkono+ wa Yehova ukawa juu yake.
14 Nayo roho ikaniinua+ na kunichukua, hivi kwamba nikaenda kwa uchungu katika ghadhabu ya roho yangu, na mkono wa Yehova juu yangu ulikuwa wenye nguvu.+