Waroma 6:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Kwa maana mshahara ambao dhambi hulipa ni kifo,+ lakini zawadi+ ambayo Mungu hutoa ni uzima wa milele+ kupitia Kristo Yesu Bwana wetu.+ 1 Yohana 5:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Lakini tunajua kwamba Mwana wa Mungu amekuja,+ naye ametupa sisi uwezo wa akili+ ili tupate kumjua yule wa kweli.+ Na sisi tumo katika muungano+ na yule wa kweli, kwa njia ya Mwana wake Yesu Kristo. Huyo ndiye Mungu wa kweli+ na uzima wa milele.+
23 Kwa maana mshahara ambao dhambi hulipa ni kifo,+ lakini zawadi+ ambayo Mungu hutoa ni uzima wa milele+ kupitia Kristo Yesu Bwana wetu.+
20 Lakini tunajua kwamba Mwana wa Mungu amekuja,+ naye ametupa sisi uwezo wa akili+ ili tupate kumjua yule wa kweli.+ Na sisi tumo katika muungano+ na yule wa kweli, kwa njia ya Mwana wake Yesu Kristo. Huyo ndiye Mungu wa kweli+ na uzima wa milele.+