Methali 13:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Anayezuia fimbo yake anamchukia mwana wake,+ lakini anayempenda ni yule anayemwangalia kwa nidhamu.+ Methali 19:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Mwana mjinga humaanisha shida kwa baba yake,+ na ugomvi wa mke ni kama paa inayovuja ambayo humfukuzia mbali mtu.+ Methali 19:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Mtie mwana wako adabu wakati bado kuna tumaini;+ wala usiweke tamaa ya nafsi yako juu ya kumuua.+
24 Anayezuia fimbo yake anamchukia mwana wake,+ lakini anayempenda ni yule anayemwangalia kwa nidhamu.+
13 Mwana mjinga humaanisha shida kwa baba yake,+ na ugomvi wa mke ni kama paa inayovuja ambayo humfukuzia mbali mtu.+