2 Samweli 16:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Basi wakamsimamishia Absalomu hema juu ya dari,+ naye Absalomu akaanza kulala na masuria wa baba yake+ mbele ya macho ya Israeli wote.+ Methali 10:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Methali za Sulemani.+ Mwana mwenye hekima ndiye anayemfanya baba ashangilie,+ naye mwana mjinga ni huzuni ya mama yake.+ Methali 17:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Yeyote anayezaa mtoto mjinga—ni huzuni kwake;+ na baba ya mtoto asiye na akili hana shangwe.+
22 Basi wakamsimamishia Absalomu hema juu ya dari,+ naye Absalomu akaanza kulala na masuria wa baba yake+ mbele ya macho ya Israeli wote.+
10 Methali za Sulemani.+ Mwana mwenye hekima ndiye anayemfanya baba ashangilie,+ naye mwana mjinga ni huzuni ya mama yake.+