Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 3:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Nawe unapaswa kumwambia kwamba naihukumu nyumba yake+ mpaka wakati usio na kipimo kwa sababu ya kosa ambalo amelijua,+ kwa sababu wanawe wanamlaani Mungu,+ lakini yeye hakuwakemea.+

  • Methali 13:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Anayezuia fimbo yake anamchukia mwana wake,+ lakini anayempenda ni yule anayemwangalia kwa nidhamu.+

  • Methali 22:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Mlee mvulana kulingana na njia inayomfaa;+ hata atakapozeeka hatageuka kando na kuiacha.+

  • Methali 22:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Ujinga umefungwa pamoja na moyo wa mvulana;+ fimbo ya nidhamu ndiyo itakayouondolea mbali.+

  • Methali 23:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Usimnyime mvulana nidhamu.+ Ukimpiga kwa fimbo, hatakufa.

  • Methali 29:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Fimbo na karipio ndivyo hutia hekima;+ lakini mvulana aliyeachiliwa atamletea mama yake aibu.+

  • Waebrania 12:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Ninyi mnavumilia kwa ajili ya nidhamu.+ Mungu anawatendea ninyi kama wana.+ Kwa maana ni mwana gani ambaye baba hamtii nidhamu?+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki