1 Samweli 3:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Nawe unapaswa kumwambia kwamba naihukumu nyumba yake+ mpaka wakati usio na kipimo kwa sababu ya kosa ambalo amelijua,+ kwa sababu wanawe wanamlaani Mungu,+ lakini yeye hakuwakemea.+ Methali 13:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Anayezuia fimbo yake anamchukia mwana wake,+ lakini anayempenda ni yule anayemwangalia kwa nidhamu.+ Methali 22:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Mlee mvulana kulingana na njia inayomfaa;+ hata atakapozeeka hatageuka kando na kuiacha.+ Methali 22:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Ujinga umefungwa pamoja na moyo wa mvulana;+ fimbo ya nidhamu ndiyo itakayouondolea mbali.+ Methali 23:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Usimnyime mvulana nidhamu.+ Ukimpiga kwa fimbo, hatakufa. Methali 29:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Fimbo na karipio ndivyo hutia hekima;+ lakini mvulana aliyeachiliwa atamletea mama yake aibu.+ Waebrania 12:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Ninyi mnavumilia kwa ajili ya nidhamu.+ Mungu anawatendea ninyi kama wana.+ Kwa maana ni mwana gani ambaye baba hamtii nidhamu?+
13 Nawe unapaswa kumwambia kwamba naihukumu nyumba yake+ mpaka wakati usio na kipimo kwa sababu ya kosa ambalo amelijua,+ kwa sababu wanawe wanamlaani Mungu,+ lakini yeye hakuwakemea.+
24 Anayezuia fimbo yake anamchukia mwana wake,+ lakini anayempenda ni yule anayemwangalia kwa nidhamu.+
7 Ninyi mnavumilia kwa ajili ya nidhamu.+ Mungu anawatendea ninyi kama wana.+ Kwa maana ni mwana gani ambaye baba hamtii nidhamu?+