Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 15:30
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 30 “‘Lakini nafsi inayofanya jambo kwa kukusudia,+ awe ni mwenyeji au mkaaji mgeni, aseme vibaya juu ya Yehova,+ katika hali hiyo nafsi hiyo lazima ikatiliwe mbali kutoka katikati ya watu wake.+

  • 1 Samweli 2:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Basi wana wa Eli walikuwa watu wasiofaa kitu;+ hawakumtambua Yehova.+

  • 1 Samweli 2:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Na dhambi ya watumishi hao ikaja kuwa kubwa sana mbele za Yehova;+ kwa kuwa watu hao hawakuliheshimu toleo la Yehova.+

  • 1 Samweli 2:30
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 30 “‘Kwa sababu hiyo, hili ndilo neno la Yehova Mungu wa Israeli: “Hakika nilisema, Nyumba yako na nyumba ya babu yako, watatembea mbele zangu daima.”+ Lakini sasa hili ndilo neno la Yehova: “Ni jambo lisilowaziwa kwangu, kwa sababu wale wanaoniheshimu+ nitawaheshimu,+ na wale wanaonidharau watahesabiwa kuwa si kitu.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki