Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Methali 13:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Anayezuia fimbo yake anamchukia mwana wake,+ lakini anayempenda ni yule anayemwangalia kwa nidhamu.+

  • Methali 19:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Mtie mwana wako adabu wakati bado kuna tumaini;+ wala usiweke tamaa ya nafsi yako juu ya kumuua.+

  • Methali 29:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Fimbo na karipio ndivyo hutia hekima;+ lakini mvulana aliyeachiliwa atamletea mama yake aibu.+

  • Methali 29:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Mtie adabu mwana wako naye atakupumzisha na kukupa raha nyingi nafsini mwako.+

  • Waefeso 6:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Nanyi, akina baba, msiwe mkiwakasirisha watoto wenu,+ bali endeleeni kuwalea+ katika nidhamu+ na mwongozo wa akilini+ wa Yehova.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki