Methali 13:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Anayezuia fimbo yake anamchukia mwana wake,+ lakini anayempenda ni yule anayemwangalia kwa nidhamu.+ Methali 19:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Mtie mwana wako adabu wakati bado kuna tumaini;+ wala usiweke tamaa ya nafsi yako juu ya kumuua.+ Methali 29:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Fimbo na karipio ndivyo hutia hekima;+ lakini mvulana aliyeachiliwa atamletea mama yake aibu.+ Methali 29:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Mtie adabu mwana wako naye atakupumzisha na kukupa raha nyingi nafsini mwako.+ Waefeso 6:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Nanyi, akina baba, msiwe mkiwakasirisha watoto wenu,+ bali endeleeni kuwalea+ katika nidhamu+ na mwongozo wa akilini+ wa Yehova.
24 Anayezuia fimbo yake anamchukia mwana wake,+ lakini anayempenda ni yule anayemwangalia kwa nidhamu.+
4 Nanyi, akina baba, msiwe mkiwakasirisha watoto wenu,+ bali endeleeni kuwalea+ katika nidhamu+ na mwongozo wa akilini+ wa Yehova.