Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 6:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 nawe uyakazie kwa mwana wako+ na kuyasema unapoketi katika nyumba yako na unapotembea barabarani na unapolala+ na unapoamka.

  • Methali 3:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 kwa sababu yeye ambaye Yehova anampenda,+ humkaripia, kama vile baba anavyomkaripia mwana anayemfurahia.+

  • Methali 19:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Mtie mwana wako adabu wakati bado kuna tumaini;+ wala usiweke tamaa ya nafsi yako juu ya kumuua.+

  • Methali 22:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Ujinga umefungwa pamoja na moyo wa mvulana;+ fimbo ya nidhamu ndiyo itakayouondolea mbali.+

  • Methali 23:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Inakupasa wewe mwenyewe umpige kwa fimbo, upate kuikomboa nafsi yake na Kaburi.*+

  • Waefeso 6:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Nanyi, akina baba, msiwe mkiwakasirisha watoto wenu,+ bali endeleeni kuwalea+ katika nidhamu+ na mwongozo wa akilini+ wa Yehova.

  • Waebrania 12:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 kwa maana yeye ambaye Yehova anampenda, humtia nidhamu; kwa kweli, humpiga fimbo kila mtu ambaye yeye humpokea kuwa mwana.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki